1 Kwa kuwa umemkiri,
Yesu Mwokozi,
Kwa Kuwa umemkiri,
Yesu Mwokozi,
Alama ya Ubatizo
Alama ya Ubatizo ni utiifu,
ni utiifu kwako.
2 Kwa kuwa utamwandama,
Yesu po pote,
Kwa kuwa utamwandama,
Yesu po pote,
Uiwe msalaba,
Uinue msalaba usione
haya tena.
3 Kwa kuwa utaogopa
Yesu kumkiri,
Kwa kuwa hutaogopa
Yesu kumkiri,
Po pote uendapo,
Po pote uendapo tangaza
wokovu wake.
Source: Nyimbo Za Imani Yetu #285