Text: | Twapenda ukaapo |
Author: | Hajulikani |
1 Twapenda ukaapo
Bwana wetu enzini,
furaha zako wewe
zinazipita zote.
2 Palipo pa kuomba
wajapo watu wako
na wewe Bwana upo,
uwakubali wote.
3 Twapenda neno lako,
habari za wokovu,
za nguvu za kushinda,
za shangwe za mbinguni.
4 Twapenda nyimbo zako,
tunaziimba hapa,
mpaka tutaziimba
pamoja na malaika.
5 Utujalie Yesu,
tuzidi kukupenda,
tuone uso wako
utakavyotakata.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Twapenda ukaapo |
Title: | Twapenda ukaapo |
Author: | Hajulikani |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Topic: | Mwaka Mpya |
Notes: | Sauti: Nun lasst uns Gott dem Herren by N. Selnecker, 1587, Sauti: Nyimbo za Kikristo #39 |