Text: | Ni damu idondokayo |
Author: | W. Cowper, 1731-1800 |
1 Ni damu idondokayo
mwlini mwa Yesu,
wakosaji wakioga,
husafishwa kweli.
Bwana wangu, Mungu wangu,
u uzimawangu,
umekutanana kufa
kwa ajili yangu!
2 Ilimpatia wokovu
mwizi kule mtini;
nami nisiyemtafuta,
inanisafisha.
Bwana wangu, Mungu wangu,
u uzimawangu,
umekutanana kufa
kwa ajili yangu!
3 Na shaushi aliyuemlinda
Yesu akiteswa,
naye akamshuhudia:
Ni mwana wa Mungu!
Bwana wangu, Mungu wangu,
u uzimawangu,
umekutanana kufa
kwa ajili yangu!
4 Nipe ulimi mpya Yesu
wa kukuimi mpya Yesu
w kukuimbia,
Babayo tutamtukuza.
jina lake pekee.
Bwana wangu, Mungu wangu,
u uzimawangu,
umekutanana kufa
kwa ajili yangu!
Text Information | |
---|---|
First Line: | Ni damu idondokayo |
Title: | Ni damu idondokayo |
English Title: | There is a fountain |
Author: | W. Cowper, 1731-1800 |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Topic: | Kuteswa na kufa kwa Yesu |
Notes: | Wimbo: There is a fountain, Reichs Lieder #175, Sacred Songs and Solos # 129, Nyimbo za Kikristo #229 |