Go Ad-Free
If you regularly use Hymnary.org, you might benefit from eliminating ads. Consider buying a subscription.
1 Kwa kuwa umemkiri,
Yesu Mwokozi,
Kwa Kuwa umemkiri,
Yesu Mwokozi,
Alama ya Ubatizo
Alama ya Ubatizo ni utiifu,
ni utiifu kwako.
2 Kwa kuwa utamwandama,
Yesu po pote,
Kwa kuwa utamwandama,
Yesu po pote,
Uiwe msalaba,
Uinue msalaba usione
haya tena.
3 Kwa kuwa utaogopa
Yesu kumkiri,
Kwa kuwa hutaogopa
Yesu kumkiri,
Po pote uendapo,
Po pote uendapo tangaza
wokovu wake.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Kwa kuwa umemkiri |
Title: | Ubatizo Alama Ya Utiifu |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1994 |
Scripture: | |
Topic: | Ubatizo |
Notes: | Sauti: by M. G. Mutsoli, © 1994 |