1 Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana furaha.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana furaha.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana furaha.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana furaha.
2 Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana amani.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana amani.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana amani.
Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana amani.
3 Furaha, furaha, furaha, furaha ni kitu bora.
Furaha, furaha, furaha, furaha ni kitu bora.
Furaha, furaha, furaha, furaha ni kitu bora.
Furaha, furaha, furaha, furaha ni kitu bora.
4 Amani, amani, amani, amani, ni kitu bora.
Amani, amani, amani, amani, ni kitu bora.
Amani, amani, amani, amani, ni kitu bora.
Amani, amani, amani, amani, ni kitu bora.
5 Upendo, upendo, upendo, upendo ni kitu bora.
Upendo, upendo, upendo, upendo ni kitu bora.
Upendo, upendo, upendo, upendo ni kitu bora.
Upendo, upendo, upendo, upendo ni kitu bora.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Mtu akiwa naye Yesu moyoni ana furaha |
Title: | Mtu Akiwa Na Yesu Moyoni Ana Furaha |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1994 |
Scripture: | |
Topic: | Irada, Sifa Na Injil |
Notes: | Sauti: Mapokeo, Mlio wa C, Mapigo 2\4 |