Text: | Yesu Kristo Azaliwa |
Author: | Elkana Mashimba |
1 Yesu Kristo,
Azaliwa,
Yesu Kristo,
Azaliwa,
Mjini Bethelehemu.Jina lake ni nani?
Imanueli, Mungu pamoja nasi wanadamu.
2 Toka mbali
Mashariki,
Toka mbali
Mashariki,
Walikuja Mamajusi, Kuja kumsufudu,
Mwana wa mungu. Maliaka mbinguni wamsifu.
3 Nyota ili
Waongoza,
Nyota ili
Waongoza,
Mamajusi waliiona, Mjini mwake Yuda,
Nyumba ya Daudi, Masihi amekuja, Haleluya!
4 Leo wangi
Wanimba,
Leo wengi
Wanaimba,
Haleluya, haleluya! Imbeni na furaha.
Na ku-sifu, Mwokozi amekuja kwetu sis.
5 Ni usiku
Wa amani,
Ni usiku
Wa amani,
Tumsifu Mungu wetu, Duniani amani,
Ameleta, Utukufu kwa Mungu juu mbinguni.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Yesu Kristo, Azaliwa |
Title: | Yesu Kristo Azaliwa |
Author: | Elkana Mashimba |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1994 |
Scripture: | |
Topic: | Kuzaliwa Kwake Kristo |
Notes: | Sauti ya Kisukuma, Tufurahi na Kuimba |