Browse Instances

In:instances

Planning worship? Check out our sister site, ZeteoSearch.org, for 20+ additional resources related to your search.
Showing 1 - 5 of 5Results Per Page: 102050
TextPage scan

Ukae kwetu Bwana

Author: J. Stegmann, 1588-1632 Hymnal: Mwimbieni Bwana #234 (1988) Lyrics: 1 Ukae kwetu Bwana na rehema yako, shetani asiweze kutudhuru tena. 2 Ukae kwetu Yesu na neno la kweli, tupate ukombozi tukilifuata. 3 Ukae kwetu nuru na mwanga wa mbingu, utuongoze njia iendayo kwako. 4 Ukae kwetu Bwana mwenye enzi yote, utupe nguvu nyingi tukutumikie. 5 Ukae kwetu Mponya na nguvu yako kuu, adui na dunia wasituharibu. 6 Ukae kwetu Mungu na ukweli wakio. tusikache wewe. Utupeleke juu! Topics: Kumtambikia Mungu Sikukuu za Wakristo Languages: Swahili
TextPage scan

Ukimpata mwenye moyo mwaminifu

Hymnal: Mwimbieni Bwana #196 (1988) First Line: Ukimpata mwenye moyo Lyrics: 1 Ukimpata mwenye moyo Mwaminifu daima, Umepata kito bora, Wajaliwa na Mungu Japo nimo shidani, Hali yangu ya heri. 2 Ukiingiwa na taabu Na kupatwa na msiba, Mwenzi wako mwaminifu Atakutia moyo. Japo nimo shidani, Hali yangu ya heri. 3 Haja yake mwenzi huyu Kukusaidia tu. Taabu yako ndiyo yake, Hakuachi msibani. Japo nimo shidani, Hali yangu ya heri. 4 Rafiki za duniani, Mali zitapotea, Mwenzi wako mwaminifu Atakaa kwa mpenziwe. Japo nimo shidani, Hali yangu ya heri. 5 Mtu kuwa na mwenzake Mwaminifu daima, Ndiyo hali duniani Ipitayo kabisa. Japo nimo shidani, Hali yangu ya heri. Languages: Swahili

Ukirushwa-Rushwa Na Dunia Hii

Hymnal: Nyimbo za Imani Yetu #161 (2003) Languages: Swahili Tune Title: BLESSINGS
Page scan

Ukirushwa-Rushwa Na Dunia Hii

Hymnal: Nyimbo Za Imani Yetu #161 (1994) Refrain First Line: Zilizo baraka zihesabu tu Topics: Maisha Ya Kikirsto Na Uhuduma Scripture: Psalm 107:31 Languages: Swahili
TextPage scan

Ukiwa na ubaya

Hymnal: Mwimbieni Bwana #91 (1988) Lyrics: 1 Ukiwa na ubaya umwambie Bwana! Ukishindana nao, atakutakasa. Damu aliyotoa, ndiyo itoshayo, kuosha wakosaji, hata wewe vivyo. 2 Vilevile na moyo umtolee Bwana! Ndivyo vipaji vema vinavyompendeza. Kwani sisi wenyewe alitukomboa, akiuawa yeye kwa kuwambwa mtini. 3 Hata viwe vichache umtolee Bwana, vyote tulivyo navyo vimetoka kwake. Vipaji vyako habe yeye hakatai, kidogo kwako wewe, kwake kitazidi! 4 Vitu vya mali nyingi umtolee Bwana! Alitoka mbinguni kusumbuka hapa. Alikufa mwenyewe kwa ajili yako, nawe hutoi chako kwa ajili yake? 5 Wakristo na tutoe shukrani kwa Mungu! Hiyo ndiyo shukrani ya wokovu wetu. Injili yake Kristo, Ienee pote! Kwa ushuhuda wetu watu waokoke. Topics: Kuteswa na kufa kwa Yesu Languages: Swahili

Export as CSV