Kwa kuwa hutaogopa

Kwa kuwa hutaogopa

Published in 1 hymnal

Representative Text

1 Kwa kuwa hutaogopa
ushuhuda wake,
Ishara ile msalaba
ndiyo alama kuu.

2 Kwa kuwa hutaogopa
kusimama nae,
Utukufu uupokee,
na kuaibishwa.

3 Kwa kuwa hutauacha
uimara wako,
Tetea jina la Yesu,
usije ogopa.

4 Kwa kuwa utapitia kwa
njia nyembamba,
Inua huo msalaba usiaibike.

4 Nasi twajiweka kwake,
kwa hiyo ishara,
Msalaba beba duniani,
Mbinguni ni Taji.

Source: Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! #248

Text Information

First Line: Kwa kuwa hutaogopa
Language: Swahili
Notes: Sauti: Hymnal Companion #455 Sacred Songs and Solos #541

Instances

Instances (1 - 1 of 1)
Text

Mwimbieni Bwana #248

Suggestions or corrections? Contact us